Video ya Ripoti Maalum ya CNN Kuhusu Mauaji ya MAELFU Nchini Tanzania [Tahadhari: Inaumiza Mno!]
<p>Kituo cha runinga cha kimataifa cha CNN kimechapisha ripoti kamili ya mauaji yaliyofanywa na Samia Suluhu Hassan kuanzia Oktoba 29 mwaka huu hadi sasa.</p><p>Tahadhari ni kwamba video husika INATISHA, INASIKITISHA na INATIA HASIRA.</p><p>MENGINEYO</p> <br/><br/>Get full access to Barua Ya Chahali at <a href="https://www.baruayachahali.com/subscribe?utm_medium=podcast&utm_campaign=CTA_4">www.baruayachahali.com/subscribe</a>