DRC: Nini hatima ya Uvira baada ya M23/AFC kuuteka mji huo ?
DEC 17, 2025-1 MIN
DRC: Nini hatima ya Uvira baada ya M23/AFC kuuteka mji huo ?
DEC 17, 2025-1 MIN
Description
Hali ya usalama Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, si shwari licha ya kutiwa saini kwa mkataba unaolenga kusitisha vita ambavyo vimekuwa vikiendelea kwa muda wa miaka 30. Waasi wa M23/AFC wameudhibiti mji wa Uvira. Marekani inaonya kuichukulia hatua Rwanda kwa kuwaunga mkono waasi hao ambao sasa wameahidi kuondoa vikosi vyake katika mji huo, lakini kwa masharti. Tunachambua kwa kina.